WELCOME - KARIBUNI SANA

GOD’S PROMISES ARE NEW EVERY MORNING” LAMENTATION 3;23

“All our dreams can come true – if we have the courage to pursue them.” - Walt Disney


Sunday, October 30, 2011

TAFAKARI YA JUMAPILI YA LEO




·        Biblia inatufundisha kuwa Walio na furaha ya kweli , ni hao walio masikini rohoni , yaani tegemeo lao haliko katika mambo ya kidunia ila wanamtegemea Mungu kwa kila kitu. Walio na huzuni au wanateseka kwa sababu yake Mungu, nao watafarijiwa .

·        Bibilia inatufundisha kuwa ili kuitwa wana wa Mungu yatupasa kuleta amani na upatanisho miongoni mwa watu na kati ya watu wa miongoni mwetu.

·        Biblia inatoa mfano wa kuwa Chumvi huwa nzuri iwapo tu na ladha, ikipoteza ladha yake, basi haifai kitu ila kutupwa. Rafiki, wewe ni chumvi na ili kuhifadhi ladha, unastahili kudumisha amani wakati wote. 

Je daima tunamshukuru Mungu kwa neema ya ya uzima ambayo tumejaliwa kwa wiki hii nzima iliyokwisha?

Je tunamshukuru Mungu kwa neema ya uzuri tunaoringia miongoni mwetu?


Wakati unafanya tafakari ya jumapili ya leo wewe uko kwenye kundi gani, kati ya makundi haya matatu hapo chini?

·   Watu wema wataendelea kudumu katika uaminifu na uokovu wa maisha  yao .

· Watu aliokuwa sio wema ambao wanakubali makosa waliyofanya na  wanapojirekebisha huwa thabiti katika msimamo wao, watu walio  katika kundi hili Mungu atazidi kuwabariki.


·        Watu wa kundi la tatu wanategemea hali ya jamii ilivyo, ikiwa jamii iko katika tamaduni nzuri na wao hufuata namna ya utamaduni wao ulivyo, na ikiwa jamii haiko katika tamaduni nzuri na wao vile vile hufuatanamna ya utamaduni wao ulivyo. Mungu hutukumbusha kuwa daiama tunatakiwa kuwa na msimamo na imani katika maisha na matendo yetu na sio kuishi bila msimamo kama mawimbi ya bahari ambayo yanasukumwa na upepo kwa mwelekeo wowote ule

Nawatakieni Jumapili Njema na mbarikiwe popote pale ulipo

Wednesday, October 26, 2011

ARE WE PERFECT IN OUR ACTIONS?


Is God looking for Perfection of our Life?

The simple answer is “ NO”

God  Is  Not  Looking  For  Perfection, because No one lives a perfect life, and God knows this  very well as the Centurion who came to Jesus; desiring for his servant to be healed. Matt. 8:5-10: “When Jesus heard it, He marveled, and said to them that  followed,  Verily  I  say  unto  you,  I  have  not  found  so  great  faith, no,  not  in  Israel.”


What do we mean by perfection?

By perfection, we mean to live without ever making any mistakes, without ever doing any wrong whatsoever, never breaking a single one of God’s holy commandments, and to do everything we do, in perfect accordance with God’s holy Word, or the Holy Bible or the wholly book.

Our first father Adam and Eve; the first human beings to ever be created; failed to live a perfect life:  with all the privileges, they yielded unto the deception of Satan, as soon as they were tempted by him. We read in Gen. 3:1-6:

So what is God looking from us? Out of our imperfection God’s looks how humbly we are before Him, more in faith as the Centurion did. The only person to live upon the earth who has great faith, is a subject of discussion,

It is true that there has never been a single human being created by God Almighty, who has ever lived a life of perfection Only Jesus, was able to live perfectly, and never break a one of God’s commandments. Therefore, Jesus Christ came to bear the sins of the whole world, so that through his name, we could all become righteous in the eyes of the God and be able to live a perfect life.
Life isn’t perfect, and yet all too often we demand that others be perfect. When we make mistakes, we dearly hope for forgiveness and grace.

Sunday, October 23, 2011

GOD IS ALWAYS FAIR

Nawatakieni JUmapili Njema na Mungu awabariki sana na anawapenda sana;



Sunday, October 16, 2011

TAFAKARI YA JUMAPILI YA LEO



Kwa nini mke mwema hutoka kwa Mungu?



·        Mke mwema atokaye kwa bwana lazima ataendana na sifa zako uzitakazo  wewe kama mume na utaridhika nae!


·        Lakini sifa ya kumpata Mke mwema na wewe lazima uwe na sifa za kuwa  mume mwema DAIMA Mungu wetu hawezi kumpa mwanamme muovu mke mwema.

Tutafakari pamoja jumapili ya leo kuhusu wimbo huu na maelekezo ya hapo juu huku tukimshukuru Mungu kwa wale wote ambao tayari Mungu ameshawachagulia Mke/Mume na wanaishi kulingana na maelekezo yake.

Kwa wale ambao bado Mungu ajewachagulia Mke/Mume mwema wazidi kumwomba Mwenyezi Mungu ili wajaliwe mwenzi bora wa maisha.

Monday, October 10, 2011

FAITH, HOPE, AND LOVE


HOW CAN WE EXPLAIN FAITH, HOPE, AND LOVE…?




St. Paul 1 Corinthians 13:13 acknowledged that these three remain: faith, hope and love. But the greatest of these is love.

Why not faith and hope?

As we read in 1 John 4:8, "God is love." Therefore Love is the greatest. Love is the best. Love is the most powerful. Love is the secret ingredient. Love is greater than faith because faith depends upon love. Love is greater than hope because love keeps hope alive. Love keeps life alive. Love banishes all darkness. Love is the motive force in the universe. Love is your key to the Kingdom of God and is the Door through which you must pass to enter the Kingdom of God.

Spread love. Show love. Display love. Share love. And surrender to Love because Love surrendered Himself to be crucified on the Cross for you.

What do you see in love that makes it the greatest?

 Do you live each day with the conviction that love matters most of all?

Are you willing to make love the top priority in your life?

To me Faith, hope and love are working together because "God should be worshipped in faith, hope, love,"
It is true that “Faith” is the way we choose to make sense out of things that we don't fully understand. Faith is not just a feeling, it is an action -- the act of placing trust in another person or idea or thing. Therefore Faith is often thought of as something that requires blind trust because no evidence exists to confirm it.


Therefore if we do not have a “hope”, there is no room for faith. Faith stands on the platform of hope. Hope is not visible, but faith grows out of hope to be visible. Hope is the root where faith is the tree. If there is no root, there cannot be a tree. So also, if there is no hope, there cannot be faith. If someone says that he has faith, ask him what his hope is. If he stumbles for an answer, he does not have Bible faith. Faith is the proof for hope.

Let us discuss

Sunday, October 9, 2011

JUMAPILI NJEMA ILIYOJAA MATUMAINI


Hebu tumapohitamisha Jumapili hii tulivu tujikumbushe umahili wa wimbo huu wa zamani ambao ulikuwa ukesheheni ujumbe mzuri na wenye mvuto;

nawatakieni Jumapili njema na Mwenyezi Mungu azidi kutubariki na kutujalia afya njema Amen

Saturday, October 8, 2011

NAWATAKIENI JUMAMOSI NJEMA


Tukiwa tukiendelea kumshukuru Mungu kwa kujaliwa afya njema na kuamka salama asubuhi hii basi tuendelee kumshukuru Mungu kwa kusikiliza wimbo huu.


Nawatakieni usikilizaji mwema na Jumamosi iliyojaa neema na upendo wa ajabu;

Friday, October 7, 2011

STEVE JOBS HAS DIED AT THE AGE OF 56.


Steve Jobs; Apple Chief Innovated Personal Computer, Created iPad, iPod, iPhone

"Apple has lost a visionary and creative genius, and the world has lost an amazing human being," Mr. Cook said in a letter to employees. "We will honor his memory by dedicating ourselves to continuing the work he loved so much."

"A lot of times, people don't know what they want until you show it to them."


" Remembering that you are going to die is the best way i know to avoid the trap of thinking you have something to lose"


for more inspiration about Steve Jobs successful life,  watch the following clip



RIP

LAZY HANDS MAKE A MAN POOR, BUT DILIGENT HANDS BRINGS WEALTH.


HOW CAN WE INTEGRATE GOD’S CREATION  AND JOB SATISFACTIONS?

Work is part of the God’s creation. To be a good worker is therefore a blessing;
God wants us to find meaning, purpose and fulfillment in any kind of work we are talented in our work places. This is possible if only we are going to integrate godly principles in our jobs;
God reminds us that our work is in his hands although sometimes it is hard and frustrating, still we need to be thankful.
The parable of the talents shows that God is still asking us to be fruitful and productive. This parable presents a clear demand from God for a return, and the greatest return often exposes us to the greatest risk.

10 (TEN) JOB RESPONSIBILITIES;
1. Know that we are anointed for the job or position we now hold. God uses ordinary circumstances as a training ground to perfect our character. 
2. Don't expect to be appreciated. God values humility and servant hood, not pride and entitlement. 

3. Embrace opportunities for change. May we reach the stage of maturity when we are no longer surprised by change? 

4. Do the job well while remembering the vision. The secret to performing your duties well where you are is to maintain a vision of where you're headed. 

5. Don't let the environment get inside us. To counter bad attitudes, behavior, and gossip, maintains prayer and Bible study. 

6. Increase our capacity to work with difficult personalities. Too often we only try to fit in and connect with others similar to us. 

7. Where we are now is not where we are going. Be peaceful while progressive…. 

8. Achieve optimal results with minimal confusion. We spend too much time trying to compensate for our weaknesses rather than capitalizing on our strengths. 

9. Do not pledge allegiance to cliques and groups. The enemy tempts us with the security of the group and the approval of others. 

10. Keep our song near us. Spend time in God's presence. Study His Word, offer up prayer, and look deep inside yourself to call up your song—praise and worship Him.
GOD BLESS US AS WE CONTINUE WORKING HARD; AND BE HONEST AND TRUE TO ONE ANOTHER;