WELCOME - KARIBUNI SANA

GOD’S PROMISES ARE NEW EVERY MORNING” LAMENTATION 3;23

“All our dreams can come true – if we have the courage to pursue them.” - Walt Disney


Friday, September 23, 2016

NI WAJIBU WETU KUSUBIRI

Tafakari ya leo inatukumbusha umuhimu wa kusubiri: Zaburi ya  106:13 inatukumbusha adhaa ya kushindwa kusubiri Wakayasahau matendo yake kwa haraka,Hawakulingojea shauri lake. Mara nyingi tunakosa subira katika kusubiri maombi na haja zetu kupata kibali cha Mungu. Tukumbuke kuwa Mwenyezi Mungu hutujibu kwa wakati wake na sio kwa wakati wetu. Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi kupita wakati wetu. Hivyo ni wajibu wetu kusubiri.

No comments:

Post a Comment