WELCOME - KARIBUNI SANA

GOD’S PROMISES ARE NEW EVERY MORNING” LAMENTATION 3;23

“All our dreams can come true – if we have the courage to pursue them.” - Walt Disney


Wednesday, September 28, 2016

KULA NA KUNYWA KWETU KUNATOKA WAPI?

Tafakari yetu Leo tuangalia je yote ambayo Mwenyezi Mungu ametufanyia ameyafanya kwa upendo mkuu. Tukisoma Mhubiri 3: 11,13 Kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao; ila kwa jinsi mwanadamu asivyoweza kuivumbua kazi ya Mungu anayoifanya, tangu mwanzo hata mwisho. 13 Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.

No comments:

Post a Comment